Wadau wa kahawa nchini watakiwa kuzalisha kwa tija ili kuleta matokeo chanya katika soko la kahawa.
Na Barnabas kisengi DODOMA JUNE 17.2021. Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba amebainisha kuwa tija ndogo ndiyo inayosababisha kushuka kwa bei ya soko la kahawa huku akiwataka Wadau wa kahawa nchini kuzalisha kwa tija ili kuleta matokeo chanya katika soko la kahawa. Hayo yamebainishw leo jijini Dodoma na mkuu wa mkoa huyo wa mkoa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed