Wadau wa kahawa nchini watakiwa kuzalisha kwa tija ili kuleta matokeo chanya katika soko la kahawa.

Na Barnabas kisengi DODOMA  JUNE 17.2021. Mkuu wa Mkoa wa Songwe Omary Mgumba amebainisha kuwa  tija ndogo ndiyo inayosababisha kushuka kwa bei ya soko la kahawa  huku akiwataka Wadau wa kahawa nchini kuzalisha kwa tija ili kuleta matokeo chanya katika soko la kahawa. Hayo yamebainishw leo jijini Dodoma na mkuu wa mkoa huyo wa mkoa